Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Miongoni Mwa 'Ulamaa Waliopinga Mawlid

1.      Shaykhul-Islaam Ibn Taymiyyah - Iqtidhwaa As-Swiraatw Al-Mustaqiym (2/619) naMajmu’ al-Fataawa (1/312)

 

 

2.      Shaykh Taajud-Diyn ‘Umar bin ‘Aliy Al-Lakhmiy Al-Iskandariyy (Mwanachuoni wa Madh-hab ya Al-Malikiy Alexandria mwaka 734H) - Al-Mawruwd fiy Kalaami ‘alaa ‘amal al-Mawlid.

 

 

3.      Shaykh Muhammad Bukhiyt al-Mutwiy’iy al-Hanafiyy (Mufti wa Diyaar Al-Miswriyyah)

 

 

4.      Shaykh ‘Aliy Mahfuwdhw – katika kitabu: Al-Ibdaa’ fiy Midhwaari al-Ibtidaa’

 

 

5.      Shaykh Raashid Ridhwaa – Amenukuu katika Muswannafaati zake mfano: Al-Manaar (9/96), (2/74), (29/664-668), (17/111), (76), na Fataawa (Juz. 5, uk.  2112-2115), (Juz. 4, uk. 1242-1243)

 

 

6.      Shaykh Muhammad bin ‘Abdis-Salaam Khudhwar Ash-Shaqiyri – Katika kitabu chake: As-Sunan wal-Mubtada’aati.

 

 

7.      Shaykhul-Islaam Al-Mujaddid Muhammad bin ‘Abdil-Wahhaab.

 

 

8.      Al-‘Allaamah Shaykh ‘Abdur-Rahmaan Aal Shaykh – Katika: Ad-Durar As-Sanniyyah.

 

 

9.      Al-‘Allaamah Shaykh Muhammad bin Ibraahiym – Risala yake kukanusha kitendo cha Mawlid. Taz. Majmu’ Fataawa yake (3/48-95). Imekusanya Fataawa mbali mbali kuhusu Mawlid.

 

 

10.  Al-‘Allaamah Shaykh ‘Abdullaah bin Muhammad bin Humayd – Risaalah yake: Hidaayah An-Naasik Ilaa Ahammil-Manaasik.

 

 

11.  ‘Allaamah Shaykh ‘Abdul-‘Aziyz bin Baaz – Risaalah yake: Hukmu Al-Ihtifaal Bil-Mawlidin-Nabawiyy.

 

 

12.  ‘Allaamah Shaykh Muhammad Naaswirud-Diyn Al-Albaaniy

 

 

13.  ‘Allaamah Shaykh Muhammad bin Swaalih Al-‘Uthaymin.

 

 

14.  ‘Allaamah Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan

 

 

15.  ‘Allaamah Shaykh Muqbil bin Haadiy Al-Waadi’iy

 

 

16.  ‘Allaamah Shaykh Rabiy’ bin Haadiy Al-Madkhaliy

 

 

17.  ‘Allaamah Shaykh Yahya Al-Hajuuriy

 

 

18.  Shaykh Humuwd bin ‘Abdullaah At-Tuwayjiriy katika Risaalah yake: Ar-Radd Al-Qawiyyi ‘alaa Ar-Rifaa’iy wal-Majhuwl wabn ‘Alawiyy wa Bayaan Akhtwaaihim fil-Mawlid An-Nabawiyy

 

 

19.  Shaykh Ismaaiyl Al-Answaariyy – Risaalah yake: Al-Qawl Al-Faswli fiy Hukm Al-Ihtifaal bi-Mawlidi Khayrir-Rusul.

 

 

20.  ‘Allaamah Shaykh Bakr Abu Zayd

 

 

21.  ‘Allaamah Shaykh ‘Abdullaah bin Jibriyn.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Hukumu ya kupeleka barua ya posa kwenye kitambaa cheupe

                      Hukumu ya kupeleka barua ya posa kwenye kitambaa cheupe  Hakika ni kuwa posa ilivyofanyika katika Uislamu kuanzia wakati wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) inafahamika vilivyo. Posa inaweza kuja kutoka kwa mume na watu wake kwa jamaa za mke au mzazi wa mke kumtafutia binti yake mume. Ikiwa wazazi watakwenda kwa wazazi wa mke, baada ya kupeleka maneno, na wazazi wa mke watataka kupatiwa muda wa kufikiria, kufanya shuuraa, kuulizia, kutafiti na baadaye kukubali au kukataa. Ikiwa wamekubali baada ya kumshauri binti  yao  ni vyema mume mtarajiwa aende amuone atakaye kuwa mkewe ili apate kutulia na kuridhika kabla siku ya Nikaah. Binti huyo au wazazi wake wataweka kiwango cha mahari ambacho mume anatakiwa kutoa. Hii njia ya kuweka pesa kwenye kitambaa au bahasha haipo katika mafunzo ya Kiislam, na huenda ni njia ya kitamaduni fulani au itikadi f...

Maana ya Uadilifu

                                         MAANA  YA  UADILIFU  KATIKA  UISLAMU Assallaam  Aleykum  WarahmatulLaah  Wabarakatuh Alhamdu Lillaahi Rabil'aalamiyn) Allaahumma Swalli 'alaa Muhammad wa 'alaa aali Muhammad kamaa Swallayta 'alaa Ibraahiym wa 'alaa aali Ibraahiym wa Baarik 'alaa Muhammad wa 'alaa aali Muhammad kamaa Baarakta 'alaa Ibraahiym wa 'alaa aali Ibraahiym fil'aalamyna Innaka Hamiydun Majiyd. Ndugu zangu Waislam Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Anasema katika Qur-aan. إِنَّ اللَّـهَ يَأْمُرُ بِالْعَدْلِ وَالْإِحْسَانِ وَإِيتَاءِ ذِي الْقُرْبَىٰ وَيَنْهَىٰ عَنِ الْفَحْشَاءِ وَالْمُنكَرِ وَالْبَغْيِ ۚيَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّرُونَ Hakika Allaah Anaamrishia uadilifu na ihsaan na kuwapa (mahitajio na msaada) jamaa wa karibu; na Anakataza machafu na munkari na ukandamizaji. Anakuwaidhini huenda mkapata kukumb...

Viungo vya Mwili vitashuhudia Matendo ya Mwanaadamu Siku ya Qiyaamah

Anasema Allaah  سبحانه وتعالى   ((الْيَوْمَ نَخْتِمُ عَلَى أَفْوَاهِهِمْ وَتُكَلِّمُنَا أَيْدِيهِمْ وَتَشْهَدُ أَرْجُلُهُمْ بِمَا كَانُوا يَكْسِبُونَ)) ((Leo Tunaviziba vinywa vyao, na iseme Nasi mikono  yao , na itoe ushahidi miguu  yao kwa waliyokuwa wakiyachuma))  [Yaasiyn :65 ] Siku ya Qiyaamah viungo vya miili vitakuwa ni vyenye kushuhudia matendo ya binaadamu aliyoyatenda hapa duniani: Mfano mikono itasema: "nimeiba".  Miguu itasema, "nimekwenda sehemu ya ma'asi". Macho yatasema, "nimetazama machafu".  Masikio yatasema, "nimesikiliza nyimbo, au umbea" na kadhalika. Na hivi ndivyo itakavyokuwa hali ya makafiri, wanafiki na wenye kumuasi Mola siku ya kufufuliwa,  watakapokanusha madhambi waliyoyatenda duniani na kuapa kwamba hawakuyafanya, Allaah  سبحانه وتعالى  Atawafunga midomo  yao na kuviamrisha viungo vizungumze:   عن أنس بن مالك قال: كنا عند النبي صلى ال...