MADHAMBI MAKUBWA NA MADOGO Assallaam Aleykum WarahmatulLaah Wabarakatuh Madhambi Makubwa Madhambi makubwa ni yale ambayo yametajwa katika Qur-aan na Sunnah za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam ) nayo ni yale ambayo mja anapoyafanya huwa na hukmu zifuatazo: 1-Madhambi ambayo Allaah Anaalaani kitendo chake. 2-Madhambi ambayo yamewekewa adhabu kali kama mfano mwenye kuzini na hali ameoa au ameolewa kupigwa mawe hadi kufa au kupigwa bakora 100 kwa asiyeoa au asiyeolewa. 3-Madhambi ambayo Anaghadhibika nayo Allaah (Subhaanahu wa Ta'aala). 4-Madhambi ambayo Allaah Anamnyima Rahmah Yake mwenye kuyatenda. Hadiyth ifuatayo imeyaelezea baadhi ya madhambi hayo makubwa ambayo yanajulikana Sab'ul-Muwbiqaat (saba yenye kuangamiza). عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) عن النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((اجْتَنِبُوا السَّبْعَ الْمُوبِقَاتِ)) قَا
BismilLaahir Rahmanir Rahiim Assallaam Aleykum WarahmatulLaah Wabarakatuh Blog hii ya www.fisabilillaah2011.blogspot.com Imeanzishwa na Arabi Saidi Mandota Mwaka 1437 H sawa na Mwaka 2017 M,kwa lengo la kutoa mafunzo ya Kiislamu yaliyo Sahihi kwa kufuata Qur`an na Sunnah za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na mwenendo wa Wema Waliotangulia bila ya kujiegemeza katika kundi lolote lile. Wasiliana nami Whatssap namba +255 714 974 397 WabilLaah Tawfiq