Swali
Inajuzu kuashiria katika swalah ya faradhi au hapana?
Jibu
Inajuzu katika swalah ya faradhi na ya sunnah. Akiashiria kwa mkono wake au kwa kichwa chake hakuna neno.
Marejeo Fataawaa Mutanawwi´ah (02)
BismilLaahir Rahmanir Rahiim Assallaam Aleykum WarahmatulLaah Wabarakatuh Blog hii ya www.fisabilillaah2011.blogspot.com Imeanzishwa na Arabi Saidi Mandota Mwaka 1437 H sawa na Mwaka 2017 M,kwa lengo la kutoa mafunzo ya Kiislamu yaliyo Sahihi kwa kufuata Qur`an na Sunnah za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na mwenendo wa Wema Waliotangulia bila ya kujiegemeza katika kundi lolote lile. Wasiliana nami Whatssap namba +255 714 974 397 WabilLaah Tawfiq
Maoni